Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta (wa tatu kulia) akiongoza ujumbe wa Tanzania katika Mazungumzo baina ya Ujumbe wa makamu Mwenyekiti wa Bunge la china Mhe. Yan Junqi ( Mwenye Nyeupe Kushoto) katika kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Spika Bungeni Dodoma . Makamu Mwenyekiti huyo wa Bunge la china , yupo nchini kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, ziara yake inakusudia kuimarisha ushirikiano kati ya Bunge la China na Tanzania. Makamu Mwenyekiti wa Bunge la china Mhe. Yan Junqi akisisitiza jambo katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ofisi ya Spika Bungeni kati ya Ujumbe wa Tanzania kwa kuongozwa na Mhe. Spika. Kulia ni Balozi wa China nchini Mhe. Liu Xinsheng na kushoto ni Mkalimani wa ujumbe huo Bi. Shi Meiqi. Makamu Mwenyekiti huyo wa Bunge la china , yupo nchini kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, ziara yake inakusudia kuimarisha ushirikiano kati ya Bunge la China na Tanzania
Wednesday, April 21, 2010
MWENYEKITI WA BUNGE LA CHINA ATUA DODOMA
Spika wa Bunge Mhe. Samuel Sitta (wa tatu kulia) akiongoza ujumbe wa Tanzania katika Mazungumzo baina ya Ujumbe wa makamu Mwenyekiti wa Bunge la china Mhe. Yan Junqi ( Mwenye Nyeupe Kushoto) katika kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Spika Bungeni Dodoma . Makamu Mwenyekiti huyo wa Bunge la china , yupo nchini kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, ziara yake inakusudia kuimarisha ushirikiano kati ya Bunge la China na Tanzania. Makamu Mwenyekiti wa Bunge la china Mhe. Yan Junqi akisisitiza jambo katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ofisi ya Spika Bungeni kati ya Ujumbe wa Tanzania kwa kuongozwa na Mhe. Spika. Kulia ni Balozi wa China nchini Mhe. Liu Xinsheng na kushoto ni Mkalimani wa ujumbe huo Bi. Shi Meiqi. Makamu Mwenyekiti huyo wa Bunge la china , yupo nchini kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, ziara yake inakusudia kuimarisha ushirikiano kati ya Bunge la China na Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment