Ajali segera,watano wajeruhiwa vibaya

Basi la Osaka Excutive lenye namba T 417 AAG kama linavyoonekana mara baada ya kuondolewa barabarani.
Dereva wa gari aina ya mitsubishi lenye namba T 895 BGE lililokuwa likitokea Dar na kuelekea jijini Arusha akifanyiwa mpango wa kutolewa baada ya kubanwa miguu katika ajali iliyotokea leo maeneo ya Segera.ukiachilia dereva huyu kuna watu wengine watano ambao wamejeruhiwa vibaya katika ajali hiyo na kufanyiwa utaratibu wa kukimbizwa hospitali.
Abiria wakiangalia basi lililokuwa limepata ajali huku wakitafakari namna ya kuondoka eneo la tukio

No comments:
Post a Comment